Felix Sunzu (jezi namba 9) katika mpambano |
Kupitia mchezaji Owen Kasuule URA ilipata goli la kwanza mnamo dakika ya 11 na baadae kuongeza la pili manamo dakika ya 90 kupitia mchezaji Feni Ally. Simba ilijitahidi kucheza vizuri lakini haikufanikiwa kuliona lango la URA hadi mwisho wa mchezo.
Wakati huo huo Azam FC katika uwanja wa Chamazi complex ilitoka sare ya 1-1 na Mafunzo. Kabla ya mchezo huo Vita Club ya DRC iliipa kipigo cha mbwa Port of Djibuti na kuifunga magoli 7-0.
No comments:
Post a Comment