Thursday, July 12, 2012

SIMBA NA AZAM KUUMANA LEO TAIFA





Mabingwa wa soka tanzania bara timu ya soka ya Simba hii leo inashuka dimbani kupambana na timu ya soka ya Azam fc katika pambano litakalofanyika katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Katika pambano hilo linalotarajia kuanza majira ya saa moja kamili ni la fainali ya kombe la ujirani mwema ambapo katika hatua za awali michuano hiyo ilifanyika katika uwanja wa amani zanzibar.
Msemaji wa shirikisho la soka nchini TFF boniface wambura amesema kuwa mchezo huo umepangwa kuchezwa muda huo kutokana na kutoa nafasi kwa mashabiki wengi wa mchezo huo kuweza kuhudhuria kwa wingi











No comments:

Post a Comment