Alex Isabirye - Kocha wa URA |
Timu ya soka ya URA inayoshiriki mashindano ya CECAFA ya kombe la Kagame imejipatia nafasi katika mechi za robo fainali baada ya kuicharaza timu ya AS Vita mabao 3-1. URA iliifunga timu Simba 2-0 katika mechi yao ya kwanza na hivyo ina pointi 6 na kuingia moja kwa moja robo fainali. Mechi za robo fainali zinatarajia kuanza Julai 23 wiki ijayo.
No comments:
Post a Comment