Friday, August 3, 2012

HATIMAYE NGASA ATINGA UZI WA MSIMBAZI

Mrisho Ngasa baada ya mazoezi
 
Hatimaye yametimia. Mrisho Ngassa tayari ameshajiunga rasmi na kambi ya timu ya Simba na kukabidhiwa uzi mwekundu huku namba yake nyuma ya jezi ikisomeka 16. Leo ameanza amehudhuria mazoezi ya timu hiyo kwa mara ya kwanza katika ufukwe wa coco beach na pia ametambulishwa rasmi makao makuu ya Klabu hiyo ikiwa ni pamoja na kukabidhiwa mchuma mpya

No comments:

Post a Comment