Friday, July 13, 2012

SIMBA YATWAA KOMBE LA UJIRANI KWA MIKWAJU YA PENATI


Wachezaji wa Simba wakishangilia ushindi kwa kumbeba kipa wa mahiri Juma Kaseja baada ya kutwaa ubingwa zidi ya timu ya Azam FC jana katika uwanja wa Taifa

Kapten wa timu ya Simba akipokea kombe kutoka kwa Waziri asiye na Wizara maalum Zanzibar Mh. Machano Othman Said.

Timu hizo zilifungana 2-2 dakika 90 za kwanza na hivyo kupelekea mechi hiyo kufika kwenye mikwaju ya penati ambapo Simba walipata 4 na Azam 2. Hivyo hadi mwisho wa mchezo Simba alishinda 6-4.

No comments:

Post a Comment